Mbowe Amjibu Nyalandu- Asema milango ipo wazi kuingia CHADEMA - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Monday, 30 October 2017

Mbowe Amjibu Nyalandu- Asema milango ipo wazi kuingia CHADEMA

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia  na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ametumia mtandao wa Twitter kumjibu aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu aliyetangaza kujiuzuru na Kuomba wanachama wa CHADEMA wampokee kuwa milango ya kujiunga CHADEMA ipo wazi kwani mambo aliyoyasema yamekuwa ajenda kuu ya CHADEMA kwa muda mrefu.


No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.