Zitto Kabwe 'Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Amepotea Siku 10 Sasa. Alikuwa Anafanya Habari ya Uchunguzi Nyeti" - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Monday, 4 December 2017

Zitto Kabwe 'Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Amepotea Siku 10 Sasa. Alikuwa Anafanya Habari ya Uchunguzi Nyeti"






Zitto Kabwe ameandika Haya Kupitia Ukurasa wake wa Facebook:

"Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Azory Gwanda amepotea siku 10 sasa. Alikuwa anafanya habari ya uchunguzi kuhusu suala nyeti sana. Nataraji Gazeti lake litatueleza siku za usoni" Zitto Kabwe





No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.