Sheikh Alhaj Musa Salum amewataka maaskofu waache siasa - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Sunday, 31 December 2017

Sheikh Alhaj Musa Salum amewataka maaskofu waache siasa

FB_IMG_1514731600839.jpg
Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar, Alhaj Musa Salum amewataka Viongozi wa Dini hasa Maaskofu kuacha mara moja tabia yao ya kutumia nyumba za ibada kufanya siasa. Amesema tabia hiyo inajenga chuki isiyo na sababu kwa viongozi wa serikali.!
___
Picha hapo juu ni shekhe akihutubia katika vikao vya CCM

Source: Jamii Forums

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.