
MADHARA YA RUSHWA KWA MAENDELEO YA AFRICA
Rushwa ipo kila mahali na asili ya
rushwa inategemea na mazingira ya eneo husika.rushwa imegawanyika katika vipengele
tofauti na inategemeana Mtoaji wa Rushwa na Mpokeaji wa Rushwa wapo katika mazingira gani.
Bara la afrika kwa asilimia 80% linakaliw na watu
weusi(black race), Bara la Afrika lina rasimali mbali mbali ambazo bado
hazijafanyiwa ufumbuzi wa kutosha namna gani ya kuzitumia ili zitumike kuleta
kipato na kusaidia maendeleo kwenye bara husika, Baadhi ya rasimali za Afrika
ni kama zifuatazo, MADINI, Afrika
ina utajiri wa kuwa na madini mbalimbali kama gold, diamond,tanzanite,rubies, copper
na aina zingine za madini,GESI YA ASILI, VIVUTIO VYA ASILI, lakini
bado Africa inaonesha kuwa kinara wa rushwa Tafiti zilizofanywa na Taasisi
zinahusika na rushwa Duniani zinaonesha Afrika imekithiri kwa vitendo vya rushwa.
Vitendo
vya rushwa vimelifanya bara la Afrika kuonekana bara la ovyo kabisa na kuwa
nyuma kimaendeleo.
Kwa
mfano kwenye Nchi za Afrika unaweza kuwalipa /kumlipa polisi au Afia wa polisi
ili akufichie makosa yako. Asilimia 75% watu hutoa rushwa ili kuepuka adhabu ya
polisi au ya mahakama na wengine wametoa rushwa ili kupata huduma za msingi ,
na wengine wametoa rushwa ili kupata kazi
Askari wa usalama
barabarani akipokea Rushwa.
JE
RUSHWA HUSABABISHWA NA NINI
Barani Afrika rushwa
inasababishwa na vitu vingi kama-:
Utawala
mbovu/ mbaya
Tamaa
Kutokuwajibika kwa viongozi na Taasisi
Ukosefu wa Ajira
Tamaa ya kutajirika mapema
MADHARA YA RUSHWA
KWENYE BARA LA AFRIKA
Kudidimia kwa maendeleo
Umaskini wa kukithiri
Ukosefu wa ajira
Kudidimia kwa huduma za
jamii
Vita vya wenyewe kwa
wenyewe
Kushuka kwa ubora wa
Elimu

No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.