Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha. Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo jumanne amejivua uanachama wa CHADEMA akidai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali. Masha amekitumikia chama cha Chadema kwa miaka miwili akitokea Chama cha Mapinduzi (CCM). Soma hapa barua ya Masha,ambayo imeambatana na sababu 5 za kujivua uanachama wa Chadema.
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha. Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo jumanne amejivua uanachama wa CHADEMA akidai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali. Masha amekitumikia chama cha Chadema kwa miaka miwili akitokea Chama cha Mapinduzi (CCM). Soma hapa barua ya Masha,ambayo imeambatana na sababu 5 za kujivua uanachama wa Chadema.
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.