BREAKING NEWS: KIMENUKA KWA PETER MSIGWA NGOME YA CHADEMA IRINGA YAVAMIWA NA WATU WENYE SILAHA - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Saturday, 25 November 2017

BREAKING NEWS: KIMENUKA KWA PETER MSIGWA NGOME YA CHADEMA IRINGA YAVAMIWA NA WATU WENYE SILAHA

BREAKING NEWS: KIMENUKA KWA PETER MSIGWA NGOME YA CHADEMA IRINGA YAVAMIWA NA WATU WENYE SILAHA


Ngome ya CHADEMA inayotumika kuratibu Kampeni za Uchaguzi wa Udiwani katika Kata ya Kitwiru jimboni Iringa Mjini, muda huu wa saa 4.00 asubuhi imevamiwa na watu wasiojulikana wakiwa na bastola tatu pamoja na magari mawili aina ya saloon zenye rangi nyeusi na nyeupe moja ina namba T 311 DHD na kuondoka na Mwana CHADEMA mmoja aliyejulikana kwa jina la Linus na kuondoka naye na mpaka sasa haijulikani walipoelekea.

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.