Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ahamia CCM - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Wednesday, 15 November 2017

Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ahamia CCM

Iringa. Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Frenk Mwaisumbe ametangaza kuhama chama chake na kujiunga na CCM.

Mwaisumbe ambaye alishika wadhifa huo kwa kipindi cha miaka sita hadi alipoachia wadhifa huo Januari mwaka huu.

Akizungumza na wanahabari mjini hapa leo Jumatano Mwaisumbe ametaja sababu za kujiunga na CCM kuwa ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais John Magufuli za kufufua uchumi wa nchi.



Mwananchi

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.