KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CCM HAMPHREY POLEPOLE ATOA NENO KUHUSIANA NA LAZARO NYARANDU
Katika historia wamepata kuondoka watu ambao wameitwa vizito, vigogo kwenye chama cha mapinduzi na huyu aliyeondoka ni mwanachama wa kawaida wa chama cha mapinduzi kwahiyo ni jambo la kawaida, ni afya kwa demokrasia"- Katibu wa itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole kuhusu Lazaro Nyalandu kujivua uanachama wa CCM.![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar1-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/22852958_1561474660580708_5947864132876220759_n.jpg?_nc_eui2=v1%3AAeF_O_vG6-UTXgc-5nyKQe4jYOSz-Wfyi7rEXiCnAx_cia8G7D3xVa2R6uo8dBQWAsZMTLsJK6tjTbPIWToEhWufpLE0B2bXLcKow4tY50s0pw&oh=9ef62c8f27e05e53e74dfc31b80a2352&oe=5A642EB2)
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.