Unaweza kutoa maoni gani kuhusiana na chaguzi zinazoendelea hivi kwa sasa hapa nchini kwetu?? Je hizi chaguzi Zina Tija kwa maendeleo ya Watanzania kwa ujumla??
Je Hawa viongozi wanapenda kuhama hama vyama hususani wabunge na madiwani wanafikiria kwa kina zaidi kabla ya kufanya maauzi hayo na Je huwa wanafikiria ni kiasi gani serikali inapata hasara kutokana na maamuzi wanayo yafanya??
Wananchi wanafikiria Nini ?? Kuhusu siasa zinazoendelea hapa Tanzania ??
Nini maoni yako
Sunday, 16 September 2018
Home
Unlabelled
Wabunge na Madiwani wanaohama vyama wanafikiri kabla ya kufanya maamuzi??
Wabunge na Madiwani wanaohama vyama wanafikiri kabla ya kufanya maamuzi??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Siasa Ni maisha
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.