Rais Magufuli akemea wasanii wa Tanzania wanaocheza utupu kwenye video za muziki. - Ahoji. “Kwanini uwavulie wengine wasiopenda kutazama uchi?” - Ataka mamlaka kuvichukulia hatua vituo vya TV vinavyoonesha muziki wa aina hiyo
''Kwanini wacheze wakionesha uchi wao kwa watu wasiotaka kuona tena kwa wakati usio mwafaka? TCRA wako kimya na wizara inayohusika iko kimya''
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Siasa Ni maisha
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.