Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Rais John Magufuli akiwa kwenye kilele cha miaka 56 ya Uhuru amesamehe wafungwa waliohukumiwa kwa vifungo mbalimbali na kunyongwa.
Miongoni mwa waliosamehewa ni wanamuziki maarafu Kama Babu Seya na Papii Kocha ambao waliohukumiwa kifungo Cha maisha gerezeni kwa kosa la kubaka na kulawiti watoto.
Source: JamiiForums
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Siasa Ni maisha
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.