Nape: Magufuli aliposema Mwanza wasibomolewe kwa sababu ya kura alikuwa anatania - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Friday, 10 November 2017

Nape: Magufuli aliposema Mwanza wasibomolewe kwa sababu ya kura alikuwa anatania


Image result for nape nnauye Nape: Magufuli aliposema Mwanza wasibomolewe kwa sababu ya kura alikuwa anatania
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye akiwa anahojiwa na DW amesema kitendo cha rais Magufuli kusema watu wa Mwanza wasibomolewe kwa kuwa walimpa kura ilikuwa ni utani sababu rais ni mtu anayependa kutania

Amesema pia ameshangazwa na bomoabomoa iliyofanywa kwa wananchi ambao serikali ilikuwa imewarhusu kujenga na kusema jambo hilo halifai

Ameseendelea kusema pia hana mpango wa kuhama CCM lakini hawezi kuapa kama hatahama chama hicho

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.