Kanisa hilo lilikuwa linasherehekea miaka 100 tangu kuanzishwa kwake.
Bw Odinga alisusia uchaguzi wa marudio uliofanyika 26 Oktoba na amesema hatambui ushindi wa Bw Kenya.
Amegeuza muungano wake wa Nasa kuwa kundi la pingamizi dhidi ya serikali.

Siasa ni Maisha
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.