Kauli ya Meya wa Ubungo Boniface Jacob baada ya kuwekwa ndani siku ya Uchaguzi - Siasa News

Breaking

Siasa ni Maisha

Thursday, 30 November 2017

Kauli ya Meya wa Ubungo Boniface Jacob baada ya kuwekwa ndani siku ya Uchaguzi


Image may contain: 1 person
Meya  wa  ubungo Bonifae  Jacob   
By Boniface Jacob 
MASHUJAA WA KATA YA SARANGA TUPO HURU
Leo tumefanikiwa Kutoka Nje Makamanda wote tuliokamatwa siku ya Jumapili,ili kupisha Wizi wa Kura kata ya Saranga.
Kwakuwa walitutoa Golini wapige penati bila kipa,Ni dhahiri kuwa Wanatuogopa,
1.Wakamuengua Diwani wetu mpaka NEC walipomrudisha baada ya wiki Mbili.
2.Wakatuzuia Kampeni kwa wiki yote ya Mwisho,Mikutano na Vikao Vya ndani ikawa ni Marufuku.
3.Wakagoma kutupatia fomu za mawakala,ili wasiingie vituoni Jumapili,Kwa Mkurugenzi kukimbia na kuzima simu mpaka jumapili asubuhi alipopatikana.
4.Wakamalizia kunikamata Mimi na Viongozi wangu wa Chama,pamoja na mawakala.
Shukrani za Pekee ziende kwa The best Activist Lawyer
*ALEX MASSABA*
Mungu Yupo pamoja Nasi.Tutashinda

Image may contain: 14 people, people smiling, people standing and outdoor
Meya  wa Ubungo Boniface  akiwa na wananchii  wa kata ya Saranga

No comments:

Post a Comment

Note: only a member of this blog may post a comment.