IKULU, DAR: Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimeanza rasmi kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wake Rais John Pombe Magufuli na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana. CCM kupitia Kamati kuu (CC) imefanya uteuzi wa wagombea walioomba kuwania nafasi ya Uenyekiti kichama.
IKULU, DAR: Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimeanza rasmi kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wake Rais John Pombe Magufuli na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana. CCM kupitia Kamati kuu (CC) imefanya uteuzi wa wagombea walioomba kuwania nafasi ya Uenyekiti kichama.
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.