Maamuzi hayo yametolewa muda mfupi uliopita mahakamani hapo na Jaji Sam Runyamika anayesikiliza shauri hilo.
Kabla ya kufikia maamuzi hayo, Jaji Runyamika alitoa nusu saa kuamua, iwapo maombi ya Mbowe na Matiko ya kupewa dhamana yaendelee kusikilizwa ama yasubiri maamuzi ya rufaa.
Serikali iliwasilishwa mahakamani muda mfupi kupinga usikilizaji wa shauri hilo hadi rufaa yao itakaposikilizwa.
No comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.